Showing 31 Result(s)

Ibada ya Zaka na Sadaka

Zaka hutolewa kwa Taasisi ya Zumbe10D tu. Wengine wote wanaoamini kuwa wanastahili zaka na Sadaka wanapaswa kujiandikisha kwenye Taasisi ya Zumbe10D. Wapumbavu wakilalamika waulizeni hao wanaotoa pesa / Mali ya Zaka na Sadaka Wanazitoa Wapi? Kujiandikisha huko inapaswa kufanywe kupitia tovuti ya Zumbe10D yenye anuani ya zumbe10d.sc.tz – 2026/2027 Wageni Mtaani / Mjini sio Maadui …

Ibada ya Ndoa

Angalizo: Kwenye hii Dunia ya Kibepari na Ndoa kwa Watu waliobalehe miaka mingi iliyopita – Basi kwa dharula sio lazima wanandoa kuishi katika Nyumba/Chumba Kimoja – Jambo la Kizingatia tu ni kuwa Mwenyezi Mungu ameweka laana nyingi kwa Wazinifu. Ndoa ni Halali kwa Waliobalehe na wa jinsia Tofauti. Lazima wasiwe Maharimu na isihusishe Mwanamke aliyeolewa. …

Utukufu Katika Imani na Taifa Jipya

Utukufu wa Juu kabisa ni wa Kutoka kwa Wazazi Utukufu huhamia kwa mume kisha kwa Familia Mpya – kutoka kwa Watoto kwenda kwa Wazazi. Enyi Watoto na Wanawake, Mtiini mwenyezi Mungu kwanza na Masihi wake ili mpate kuokoka. Ni dhambi kuwapenda Wazazi wenu au Waume zenu kuliko ipasavyo kumpenda mwenyezi mungu na Masihi wake naye …

Ibada ya Sala na Sala ya Ufalme

Ni lazima kusali Sala ya Asubuhi na sala ya Jioni kila siku, katika sala hii mkusudiwa ni Mungu mkuu mwenye enzi yote, Sala hii ya Asubuhi na Jioni husaliwa kwa Rakaa mbili, Maneno yote yasomwayo kwa sauti yaani Qur’an na Muongozo wa Imamu yanasomwa kwa Kiarabu na maneno ya Kimya yanasomwa kwa lugha aifahamuyo vyema …

Dunia bila Dhambi pt 2

Haya ni Malengo shabaha ya Utawala wa Zumbe10D na wala sio ushawishi kwa watunga sera. Falme ya Ahmad inakusudia kumiliki kila kitu bila kukichukua, na kuunda umoja ambao sio wa kunyang’anyana bali wa kugawana. Pata picha hii, Hakuna Matumizi wa Fedha duniani kote na hapo utagundua ya kuwa mambo ya wizi na utapeli vitakuwa ni …

Kwaheri Ramadhani – Podcast

Nimakosa kuuita mwezi wa Ramadhani mwezi wa toba, Ramadhani ni mwezi wa upendeleo utako kwa Mungu mwenyezi kwa waja wake. Lengo la Ramadhani limewekwa wazi – Tuwe wachamungu. Uchamungu ni Zaidi ya kuwa muumini ambapo uumini ni Zaidi ya kuwa Muislamu tu. Yale yote uliyoacha ndani ya Ramadhani ukiachilia kufanya mapenzi na Mkeo / mmeo …

Uchumi wa Usawa – Dunia Bila Dhiki

Katika dunia ya sasa, pesa imekuwa mzizi wa tamaa, dhuluma na hofu ya kesho. Watu wanahangaika kupata kipato, wengine wanadhulumiwa, na wengi wanabaki maskini kwa sababu ya mfumo wa kifedha usio na huruma. Lakini katika Falme ya Ahmad, pesa haitakuwepo tena. Hakutakuwa na kununua wala kuuza, hakuna cha kuiba wala cha kudhulumu. Kila kitu kitakuwa …

Pod – Zumbe10D na Uchizi Feb 2026

Nakutana na changamoto nyingi sana kwa kisingizio kwamba nina matatizo ya afya ya Akili, Changamoto hizo zinapelekea suala la uchumi wangu kuwa duni na duni kila siku. Napaswa kufanya kazi na kuwa na kwangu kwa maana ya nyumba na kwangu kwa maana ya Familia, Naishi bila mke na sina cha kusema zaidi ya kulaumu hali …

Falme ya Ahmad – Dunia Moja Bila Vita

Katika historia ya binadamu, vita vimekuwa mzizi wa maumivu na uharibifu. Kila kizazi kimeacha kumbukumbu za damu na machozi, na kila taifa limepoteza watoto wake kwa sababu ya tamaa na chuki. Lakini sasa, katika Falme ya Ahmad, tunatangaza kwa sauti ya kifalme: vita ni haramu milele. Kila falme ina “ridhaa tukufu” na kwetu sisi ni …

Mabwana wa Taasisi – Cheo cha Uaminifu

Katika dunia ya sasa, matajiri na viongozi wa taasisi kubwa au Viongozi wa Mataifa hawapaswi kuishi kwa hofu ya kupoteza mali zao au nafasi zao pindi mageuzi ya Masihi Ahmad Ten’dii yakishika hatamu. Lakini katika Falme ya Ahmad, hakuna mtu anayepaswa kuogopa mabadiliko. Kwa uaminifu wao kwa Masihi Ahmad, viongozi hawa watapewa heshima ya kifalme …

Mfumo wa Wanachama Umekamilika

Leo tunasimama katika hatua ya kihistoria: mfumo wa kushughulikia taarifa za wanachama wa Zumbe10D umekamilika kwa asilimia 100. Hii siyo tu kazi ya kiufundi, bali ni ushuhuda wa dhamira yetu ya kujenga jamii yenye heshima, usalama na mshikamano wa kweli. Huu ni Wito kwa kila mtu kujiunga na jamii yetu pendwa .Tunawaomba wote wenye moyo …

Umuhimu Wa Ndoa Za Mapema Pt 2

“Mapenzi yakipatikana katika mazingira mazuri huinua ufanisi wa mtu – ndoa mapema ni nguzo ya heshima na usalama wa jamii.” 1. Mapenzi na Mazingira Mapenzi ni nguvu ya asili. Yakipatikana katika mazingira mazuri huinua ufanisi wa mtu, lakini yakikandamizwa huzaa udanganyifu, rafu, na migogoro. Kuchelewesha mapenzi hadi miaka 18+ huandaa mazingira ya ushoga, usagaji, na …

Bangili ya Rehani – Alama ya Pili ya Maisha

Utangulizi Katika jamii ya Zumbe10D, nidhamu na heshima ni nguzo kuu za uhuru wa kweli. Lakini tunatambua pia kuwa binadamu hukosea. Ndipo dhana ya Bangili ya Rehani inapoibuka — si kama alama ya aibu, bali kama ishara ya pili ya maisha na uwajibikaji. Bangili ya Rehani ni nini? Ni bangili ya chuma yenye maandishi REHANI …

Uhasidi unavyodhuru Jamii na Watakatifu

Ujumbe Mahsusi kutoka kwa Masihi (Zumbe) Ahmad Ten’dii. Mwenyezi Mungu amehalaisha mashindano na kuharamisha Uhasidi. Ni uovu kutamani neema za watu wengine na kutaka uzipate wewe au yule unayemtaka. lakini kushindana kugombea nafasi nzuri ni jambo halali kulingana na nafasi / fursa zenyewe unaombwa kujiunga na kuwa mwanachama wa tovuti hii. Podcast zinazofuata zitakuwa kwa …

Unaweza Kuoana na Zumbe10D

“Ahmad Ten’dii (Ahmad Juma Shelimo) Hazini (anachofanya sio uzinifu)” (!?) – Alisema Nabii nisiye Mjua “Ndoa zangu Hazifungishwi – Nafungisha Mwenyewe” – Kauli yangu miongoni mwa kauli za Mwanzo baada ya kupata Unabii / Utume (Kristo wa Dar) Qur’an inasemaje kuhusu Muhammad (SAW) “Ewe Nabii! Hakika Sisi tumekuhalalishia wake zako ulio weka mahari yao, na …

Waandishi Mko wapi?! Au #HamtoiKiki?

Waandishi Mko wapi?! Au #HamtoiKiki. Je hizi ni topic nyepesi ndani ya jamii? Hazigusi maisha ya watu?! Hazifai kujadiliwa?! Je hamuoni kuwa mnachochea Matabaka?!Kuna Taasisi za Serekali au kidini zenye Mkono katika hili.Je #HatutoiKiki ni harakati ya Haki? Ya nani? Waabudu Mashetani na Mifumo ya Kibepari? au Wanaharakati ya mapenzi ya Jinsia Moja?. Kwanini Vyombo …

Nguvu ya Siasa Dhidi ya Maadili

Wakati nikiwa mwanafunzi nilikuwa muislamu safi. Miongoni mwa dua zangu wakati huo ni kupatiwa Mke mwema na kipato kizuri pindi nimalizapo masomo yangu. Siku moja wakati niko chuo kikuu nilikwenda baa ya jirani na Geto langu kupata chakula cha Mchana. Meza jirani alikuwepo kijana mmoja na binti, picha ya haraka niliyoipata ni kwamba wanataka kuanzisha …

Uhaini Ngazi ya Familia

Familia ndio msingi wa Taifa, Ndani ya familia ndipo ambapo malezi sahihi na makuzi wa watoto na vijana hupatikana kwa usahihi. Ni wajibu kwa jamii kushirikiana kwa pamoja kuilinda taasisi ya familia Msingi mzuri wa familia ni ndoa, Ndoa ambayo ni muungano wa watu wawili, mke na mume walioamua kuishi pamoja na kuunda familia. Familia …