Pod – Zumbe10D na Uchizi Feb 2026
Nakutana na changamoto nyingi sana kwa kisingizio kwamba nina matatizo ya afya ya Akili, Changamoto hizo zinapelekea suala la uchumi wangu kuwa duni na duni kila siku. Napaswa kufanya kazi na kuwa na kwangu kwa maana ya nyumba na kwangu kwa maana ya Familia, Naishi bila mke na sina cha kusema zaidi ya kulaumu hali …

