Nukuu Binafsi

(Zumbe) Ahmad Ten’dii ni Nani

Kijana kutoka Tanzania mwenye Kusudi la uundwaji wa Taifa la kifalme juu ya Baraka, Karama na Maono adhimu ya Mafanikio ya kweli na ulinzi wa Ustaarabu na Utu ndani ya Milenia hii. Mtaalamu wa Dini na Falsafa ambaye Hakupitia Masomo rasmi. Aliyedhihirika kupitia kusudi la uanzishaji wa Taifa la Kifalme lenye upatanisho kati ya ulimwengu halisia na ulimwengu wa kiroho. Mwanasiasa Mwadilifu na Mwenye Karama tele ambaye amesimama kama alama ya Mizani katika masuala yapasayo kuamua juu ya utawala safi. "Nimejinasibu na kunasibishwa na ulezi na ulinzi wa Ustaarabu kuipitia Hekima, Busara, upendo na uelewa wa hali ya Juu".

enelcypher.comReader comment

Can I simply just say what a relief to uncover
somebody who truly knows what they are talking about over the internet.

You certainly realize how to bring a problem to light and make it important.
More and more people really need to look at this and understand this side of your story.

teanurture.onlineReader comment

My family members every time say that I am killing my time here
at net, except I know I am getting familiarity all the time by reading
thes fastidious posts.

fundable.comReader comment

I’ve read several just right stuff here. Definitely
worth bookmarking for revisiting. I surprise how a lot attempt you
put to create this type of great informative site.

vitallivinghomecare.comReader comment

Have you ever considered writing an e-book or guest authoring on other blogs?
I have a blog centered on the same topics you discuss and would
love to have you share some stories/information. I know my audience would enjoy your work

steninredningar.necito.comReaders comment

My brother suggested I might like this web site.
He was totally right. This Website actually made my day.
You cann’t imagine just how much time I had spent for this info!
Thanks!

ashokascales.comReader comment

Howdy very nice site!! Guy .. Excellent .. Wonderful ..

I will bookmark your blog and take the feeds additionally?

I am happy to search out numerous useful info right here in the put up, we
need develop more strategies in this regard, thank you for sharing.

Falme ya Ahmad

Karibu katika Falme ya Ahmad, Isiyo na Mipaka – Maisha ya Usawa, Heshima na Uhuru wa Kweli

Maelezo Zaidi

Mfumo wa Maisha

Maisha Bila Pesa – Kila Kitu kwa Kila Mtu. Uaminifu wako ni tiketi ya maisha ya heshima na anasa

Maelezo Zaidi

Sheria na Nidhamu

Uhuru wa Kweli Unahitaji Nidhamu ya Kweli. Uhuru wa kuabudu, ulinzi wa mapenzi na Kuchunga wenye haki kwa salama

Maelezo Zaidi

Teknolojia na Viwanda

Kazi Kwa Mashine, Kazi kwa Zamu Lengo la Kupunguza Ajira na Kuongeza Muda wa Familia, Kustarehe na Kuabudu

Jiunge Na Jumuiya

Anzisha Tawi la Zumbe10D Katika Eneo Lako. maelekezo ya kuanzisha jumuiya na Nidhamu Kwa Waasisi

Maelezo Zaidi

Mashujaa na Historia

Waliotangulia Kwa Uaminifu na Ubunifu. Walioacha Alama katika Historia Kwa kuishi Sehemu ya Falsafa hii

Maelezo zaidi

Latest Articles

Dunia bila Dhambi pt 2

Haya ni Malengo shabaha ya Utawala wa Zumbe10D na wala sio ushawishi kwa watunga sera. Falme ya Ahmad inakusudia kumiliki kila kitu bila kukichukua, na kuunda umoja ambao sio wa kunyang’anyana bali wa kugawana. Pata picha hii, Hakuna Matumizi wa Fedha duniani kote na hapo utagundua ya kuwa mambo ya wizi na utapeli vitakuwa ni …

Read More

Kwaheri Ramadhani – Podcast

Nimakosa kuuita mwezi wa Ramadhani mwezi wa toba, Ramadhani ni mwezi wa upendeleo utako kwa Mungu mwenyezi kwa waja wake. Lengo la Ramadhani limewekwa wazi – Tuwe wachamungu. Uchamungu ni Zaidi ya kuwa muumini ambapo uumini ni Zaidi ya kuwa Muislamu tu. Yale yote uliyoacha ndani ya Ramadhani ukiachilia kufanya mapenzi na Mkeo / mmeo …

Read More

Uchumi wa Usawa – Dunia Bila Dhiki

Katika dunia ya sasa, pesa imekuwa mzizi wa tamaa, dhuluma na hofu ya kesho. Watu wanahangaika kupata kipato, wengine wanadhulumiwa, na wengi wanabaki maskini kwa sababu ya mfumo wa kifedha usio na huruma. Lakini katika Falme ya Ahmad, pesa haitakuwepo tena. Hakutakuwa na kununua wala kuuza, hakuna cha kuiba wala cha kudhulumu. Kila kitu kitakuwa …

Read More

Machapisho Mapya

  • Dunia bila Dhambi pt 2

    Dunia bila Dhambi pt 2

    Haya ni Malengo shabaha ya Utawala wa Zumbe10D na wala sio ushawishi kwa watunga sera. Falme ya Ahmad inakusudia kumiliki...
  • Kwaheri Ramadhani – Podcast

    Kwaheri Ramadhani – Podcast

    Nimakosa kuuita mwezi wa Ramadhani mwezi wa toba, Ramadhani ni mwezi wa upendeleo utako kwa Mungu mwenyezi kwa waja wake....
  • Uchumi wa Usawa – Dunia Bila Dhiki

    Uchumi wa Usawa – Dunia Bila Dhiki

    Katika dunia ya sasa, pesa imekuwa mzizi wa tamaa, dhuluma na hofu ya kesho. Watu wanahangaika kupata kipato, wengine wanadhulumiwa,...
  • Pod – Zumbe10D na Uchizi Feb 2026

    Pod – Zumbe10D na Uchizi Feb 2026

    Nakutana na changamoto nyingi sana kwa kisingizio kwamba nina matatizo ya afya ya Akili, Changamoto hizo zinapelekea suala la uchumi...
  • Falme ya Ahmad – Dunia Moja Bila Vita

    Falme ya Ahmad – Dunia Moja Bila Vita

    Katika historia ya binadamu, vita vimekuwa mzizi wa maumivu na uharibifu. Kila kizazi kimeacha kumbukumbu za damu na machozi, na...
  • Mabwana wa Taasisi – Cheo cha Uaminifu

    Mabwana wa Taasisi – Cheo cha Uaminifu

    Katika dunia ya sasa, matajiri na viongozi wa taasisi kubwa au Viongozi wa Mataifa hawapaswi kuishi kwa hofu ya kupoteza...
  • Mfumo wa Wanachama Umekamilika

    Mfumo wa Wanachama Umekamilika

    Leo tunasimama katika hatua ya kihistoria: mfumo wa kushughulikia taarifa za wanachama wa Zumbe10D umekamilika kwa asilimia 100. Hii siyo...
  • Umuhimu Wa Ndoa Za Mapema Pt 2

    Umuhimu Wa Ndoa Za Mapema Pt 2

    "Mapenzi yakipatikana katika mazingira mazuri huinua ufanisi wa mtu – ndoa mapema ni nguzo ya heshima na usalama wa jamii."...