Showing 24 Result(s)

Kwaheri Ramadhani – Podcast

Nimakosa kuuita mwezi wa Ramadhani mwezi wa toba, Ramadhani ni mwezi wa upendeleo utako kwa Mungu mwenyezi kwa waja wake. Lengo la Ramadhani limewekwa wazi – Tuwe wachamungu. Uchamungu ni Zaidi ya kuwa muumini ambapo uumini ni Zaidi ya kuwa Muislamu tu. Yale yote uliyoacha ndani ya Ramadhani ukiachilia kufanya mapenzi na Mkeo / mmeo …

Uchumi wa Usawa – Dunia Bila Dhiki

Katika dunia ya sasa, pesa imekuwa mzizi wa tamaa, dhuluma na hofu ya kesho. Watu wanahangaika kupata kipato, wengine wanadhulumiwa, na wengi wanabaki maskini kwa sababu ya mfumo wa kifedha usio na huruma. Lakini katika Falme ya Ahmad, pesa haitakuwepo tena. Hakutakuwa na kununua wala kuuza, hakuna cha kuiba wala cha kudhulumu. Kila kitu kitakuwa …

Pod – Zumbe10D na Uchizi Feb 2026

Nakutana na changamoto nyingi sana kwa kisingizio kwamba nina matatizo ya afya ya Akili, Changamoto hizo zinapelekea suala la uchumi wangu kuwa duni na duni kila siku. Napaswa kufanya kazi na kuwa na kwangu kwa maana ya nyumba na kwangu kwa maana ya Familia, Naishi bila mke na sina cha kusema zaidi ya kulaumu hali …

Falme ya Ahmad – Dunia Moja Bila Vita

Katika historia ya binadamu, vita vimekuwa mzizi wa maumivu na uharibifu. Kila kizazi kimeacha kumbukumbu za damu na machozi, na kila taifa limepoteza watoto wake kwa sababu ya tamaa na chuki. Lakini sasa, katika Falme ya Ahmad, tunatangaza kwa sauti ya kifalme: vita ni haramu milele. Kila falme ina “ridhaa tukufu” na kwetu sisi ni …

Mabwana wa Taasisi – Cheo cha Uaminifu

Katika dunia ya sasa, matajiri na viongozi wa taasisi kubwa au Viongozi wa Mataifa hawapaswi kuishi kwa hofu ya kupoteza mali zao au nafasi zao pindi mageuzi ya Masihi Ahmad Ten’dii yakishika hatamu. Lakini katika Falme ya Ahmad, hakuna mtu anayepaswa kuogopa mabadiliko. Kwa uaminifu wao kwa Masihi Ahmad, viongozi hawa watapewa heshima ya kifalme …

Mfumo wa Wanachama Umekamilika

Leo tunasimama katika hatua ya kihistoria: mfumo wa kushughulikia taarifa za wanachama wa Zumbe10D umekamilika kwa asilimia 100. Hii siyo tu kazi ya kiufundi, bali ni ushuhuda wa dhamira yetu ya kujenga jamii yenye heshima, usalama na mshikamano wa kweli. Huu ni Wito kwa kila mtu kujiunga na jamii yetu pendwa .Tunawaomba wote wenye moyo …

Umuhimu Wa Ndoa Za Mapema Pt 2

“Mapenzi yakipatikana katika mazingira mazuri huinua ufanisi wa mtu – ndoa mapema ni nguzo ya heshima na usalama wa jamii.” 1. Mapenzi na Mazingira Mapenzi ni nguvu ya asili. Yakipatikana katika mazingira mazuri huinua ufanisi wa mtu, lakini yakikandamizwa huzaa udanganyifu, rafu, na migogoro. Kuchelewesha mapenzi hadi miaka 18+ huandaa mazingira ya ushoga, usagaji, na …

Bangili ya Rehani – Alama ya Pili ya Maisha

Utangulizi Katika jamii ya Zumbe10D, nidhamu na heshima ni nguzo kuu za uhuru wa kweli. Lakini tunatambua pia kuwa binadamu hukosea. Ndipo dhana ya Bangili ya Rehani inapoibuka — si kama alama ya aibu, bali kama ishara ya pili ya maisha na uwajibikaji. Bangili ya Rehani ni nini? Ni bangili ya chuma yenye maandishi REHANI …

Uhasidi unavyodhuru Jamii na Watakatifu

Ujumbe Mahsusi kutoka kwa Masihi (Zumbe) Ahmad Ten’dii. Mwenyezi Mungu amehalaisha mashindano na kuharamisha Uhasidi. Ni uovu kutamani neema za watu wengine na kutaka uzipate wewe au yule unayemtaka. lakini kushindana kugombea nafasi nzuri ni jambo halali kulingana na nafasi / fursa zenyewe unaombwa kujiunga na kuwa mwanachama wa tovuti hii. Podcast zinazofuata zitakuwa kwa …

Unaweza Kuoana na Zumbe10D

“Ahmad Ten’dii (Ahmad Juma Shelimo) Hazini (anachofanya sio uzinifu)” (!?) – Alisema Nabii nisiye Mjua “Ndoa zangu Hazifungishwi – Nafungisha Mwenyewe” – Kauli yangu miongoni mwa kauli za Mwanzo baada ya kupata Unabii / Utume (Kristo wa Dar) Qur’an inasemaje kuhusu Muhammad (SAW) “Ewe Nabii! Hakika Sisi tumekuhalalishia wake zako ulio weka mahari yao, na …

Waandishi Mko wapi?! Au #HamtoiKiki?

Waandishi Mko wapi?! Au #HamtoiKiki. Je hizi ni topic nyepesi ndani ya jamii? Hazigusi maisha ya watu?! Hazifai kujadiliwa?! Je hamuoni kuwa mnachochea Matabaka?!Kuna Taasisi za Serekali au kidini zenye Mkono katika hili.Je #HatutoiKiki ni harakati ya Haki? Ya nani? Waabudu Mashetani na Mifumo ya Kibepari? au Wanaharakati ya mapenzi ya Jinsia Moja?. Kwanini Vyombo …

Nguvu ya Siasa Dhidi ya Maadili

Wakati nikiwa mwanafunzi nilikuwa muislamu safi. Miongoni mwa dua zangu wakati huo ni kupatiwa Mke mwema na kipato kizuri pindi nimalizapo masomo yangu. Siku moja wakati niko chuo kikuu nilikwenda baa ya jirani na Geto langu kupata chakula cha Mchana. Meza jirani alikuwepo kijana mmoja na binti, picha ya haraka niliyoipata ni kwamba wanataka kuanzisha …

Uhaini Ngazi ya Familia

Familia ndio msingi wa Taifa, Ndani ya familia ndipo ambapo malezi sahihi na makuzi wa watoto na vijana hupatikana kwa usahihi. Ni wajibu kwa jamii kushirikiana kwa pamoja kuilinda taasisi ya familia Msingi mzuri wa familia ni ndoa, Ndoa ambayo ni muungano wa watu wawili, mke na mume walioamua kuishi pamoja na kuunda familia. Familia …

Safari ya kifalme

Hizi ni Kampeni kwa ajili uundaji wa Taifa la Kifalme. Kampeni ya kushawishi watu wa mataifa yote, makubwa na madogo umuhimu wa kuwepo kwa taifa la kifalme chini yangu mimi Ahmad Ten’dii Huu ni mpango wa kutowesha shida, umaskini na utesi unaopatikana katika safari ya maisha. Ni mpango  wa kuhakikisha ya kwamba maisha ya binadamu …

Dunia Isiyo Na Dhambi

Watu wabaya wanatengenezwa. Kuna mazingira yanawafanya watu wawe na tabia za dhambi na za kihalifu na kuna mazingira yanawafanya watu wewe watenda wema na wazuri kwao wenyewe, familia zao na jamii yote kwa ujumla. Maisha magumu na kukwama katika umaskini kunafanya wawe tayari kufanya kazi yoyote na kuna baadhi ya watu wanafikia hatua ya kufanya …

Mahusiano na mapenzi yenye afya

Utangulizi Sisi ni binadamu, kama walivyo viumbe wengine tunahitaji mapenzi na mahusiano. Kama njia ya kustarehe, kujipatia utulivu na kuzaliana. Ipo nguvu ya asili katika sisi (Viumbe) inayotuvuta kuelekea katika matendo ya mapenzi na kuzaliana. Kwanza mapenzi ni matamu na yanaraha kwa wapenzi wote wawili, Pili maumbo ya Jamii ya Kiume ni makubwa na misuli …

Asili ya Jina Zumbe10D

Zumbe ni neno la Kisambaa, Miongoni wa Lugha za kiasili za watu wa Tanzania ambayo wengi wa wazungumzaji wake wanatokea wilaya ya Lushoto na Korogwe Mkoani Tanga. Zumbe ina maana sawa na neno Mfalme au Sultani. Mimi Ahmad kama Wa awali katika Juhudi na Kusudi na harakati ya uanzishwaji wa Taifa Jipya ndani ya mataifa …

Mageuzi Mfumo Wa Elimu

Zumbe10D niko kamili, Niko na mifumo mingi sana kwa ajili ya kuchukua nafasi ya hii inayotumika ambayo hupelekea mahangaiko kwa Binadamu. Lengo langu ni lile lile na kuifanya dunia tulivu na yenye raha na starehe za kila aina na kwa kila mtu Kabla sijaanza kuufafanua mfumo wangu ningependa kujadili kuhusu taaluma ya ubobeaji (Professionalism). Wataalam …

Zumbe10D Enzini

Harakati zangu mimi Ahmad Ten’dii ni za kujivunia na za kujiingiza mzima mzima kuelekea lengo kuu la kupata Ufalme wa Dunia ukianza nyumbani Tanzania.Je wewe unajivunia athari yangu, Unapenda matokeo ya Harakati zangu za kidini / Falsafa / Siasa au vyote kwa pamoja. Je wewe ni miongoni mwa wanaoona upo umuhimu wa kuniinua na kunitukuza …

Usawa Na Utajiri Duniani

Zumbe10D ndio mfalme wa Dunia ya kidijitali na ameigeuza kuwa Bustani ya neema. Hakuna Maskini hata mmoja. Umaskini ni suala ambalo liko katika historia. Dunia isiyotumia fedha, Dunia isiyo na Wafanyabiashara bali nafasi yao itachukuliwa na Timu za Usambazaji. Mahitaji yatakuwa yanagawanywa kuwa kuzingatia umri na hali ya mtu.Nyumba za maana kama zile za “Marehemu” …