Kwaheri Ramadhani – Podcast
Nimakosa kuuita mwezi wa Ramadhani mwezi wa toba, Ramadhani ni mwezi wa upendeleo utako kwa Mungu mwenyezi kwa waja wake. Lengo la Ramadhani limewekwa wazi – Tuwe wachamungu. Uchamungu ni Zaidi ya kuwa muumini ambapo uumini ni Zaidi ya kuwa Muislamu tu. Yale yote uliyoacha ndani ya Ramadhani ukiachilia kufanya mapenzi na Mkeo / mmeo …




















