Showing 2 Result(s)

Ibada ya Zaka na Sadaka

Zaka hutolewa kwa Taasisi ya Zumbe10D tu. Wengine wote wanaoamini kuwa wanastahili zaka na Sadaka wanapaswa kujiandikisha kwenye Taasisi ya Zumbe10D. Wapumbavu wakilalamika waulizeni hao wanaotoa pesa / Mali ya Zaka na Sadaka Wanazitoa Wapi? Kujiandikisha huko inapaswa kufanywe kupitia tovuti ya Zumbe10D yenye anuani ya zumbe10d.sc.tz – 2026/2027 Wageni Mtaani / Mjini sio Maadui …

Ibada ya Sala na Sala ya Ufalme

Ni lazima kusali Sala ya Asubuhi na sala ya Jioni kila siku, katika sala hii mkusudiwa ni Mungu mkuu mwenye enzi yote, Sala hii ya Asubuhi na Jioni husaliwa kwa Rakaa mbili, Maneno yote yasomwayo kwa sauti yaani Qur’an na Muongozo wa Imamu yanasomwa kwa Kiarabu na maneno ya Kimya yanasomwa kwa lugha aifahamuyo vyema …