- Ni lazima Wanawake Kufunika Vichwa vyao wakati wa Ibada
- Ni lazima Wanawake kufunika Vifua vyao wakati wote
- Sio vibaya kutumia mavazi ya Heshima ya Wakristo katika kazi za Sanaa
- Sio Vibaya kwa Mwanamke kuvaa kama mwanamke wa Kihindi na kuacha kiuno/tumbo wazi kama wafanyavyo Wahindi kwa misingi ya Kihindi kwa shughuli zisizo za ibada na mikusanyiko au sikuu za kidini
- Si ruhusa kwa Mwanamke au Mwanaume kuvaa nguo ndefu ziburuzazo chini
- Hakuna tatizo kama Mwanamke ataacha wazi viuongo vyake vyote vya udhu wakati wa Ibada ikiwemo nywele za mbele.
- Hakuna Ubaya kwa Wanaume kukaa vifua wazi katika Kazi au Michezo
- Urefu wa nguo za wanawake lazima uzidi nusu ya urefu wa Goti na Kifundo cha mguu
- Wanawake wanaweza kuvaa suruale pana zisizobana Mapaja yao na kuonyesha Makalio yao kama watavaa pamoja na nusu kanzu
Watoto wa kike wasiobalehe wanaweza wanaweza shiriki ibada bila kufunika vichwa vyao.

