Showing 31 Result(s)

Safari ya kifalme

Hizi ni Kampeni kwa ajili uundaji wa Taifa la Kifalme. Kampeni ya kushawishi watu wa mataifa yote, makubwa na madogo umuhimu wa kuwepo kwa taifa la kifalme chini yangu mimi Ahmad Ten’dii Huu ni mpango wa kutowesha shida, umaskini na utesi unaopatikana katika safari ya maisha. Ni mpango  wa kuhakikisha ya kwamba maisha ya binadamu …

Dunia Isiyo Na Dhambi

Watu wabaya wanatengenezwa. Kuna mazingira yanawafanya watu wawe na tabia za dhambi na za kihalifu na kuna mazingira yanawafanya watu wewe watenda wema na wazuri kwao wenyewe, familia zao na jamii yote kwa ujumla. Maisha magumu na kukwama katika umaskini kunafanya wawe tayari kufanya kazi yoyote na kuna baadhi ya watu wanafikia hatua ya kufanya …

Mahusiano na mapenzi yenye afya

Utangulizi Sisi ni binadamu, kama walivyo viumbe wengine tunahitaji mapenzi na mahusiano. Kama njia ya kustarehe, kujipatia utulivu na kuzaliana. Ipo nguvu ya asili katika sisi (Viumbe) inayotuvuta kuelekea katika matendo ya mapenzi na kuzaliana. Kwanza mapenzi ni matamu na yanaraha kwa wapenzi wote wawili, Pili maumbo ya Jamii ya Kiume ni makubwa na misuli …

Asili ya Jina Zumbe10D

Zumbe ni neno la Kisambaa, Miongoni wa Lugha za kiasili za watu wa Tanzania ambayo wengi wa wazungumzaji wake wanatokea wilaya ya Lushoto na Korogwe Mkoani Tanga. Zumbe ina maana sawa na neno Mfalme au Sultani. Mimi Ahmad kama Wa awali katika Juhudi na Kusudi na harakati ya uanzishwaji wa Taifa Jipya ndani ya mataifa …

Mageuzi Mfumo Wa Elimu

Zumbe10D niko kamili, Niko na mifumo mingi sana kwa ajili ya kuchukua nafasi ya hii inayotumika ambayo hupelekea mahangaiko kwa Binadamu. Lengo langu ni lile lile na kuifanya dunia tulivu na yenye raha na starehe za kila aina na kwa kila mtu Kabla sijaanza kuufafanua mfumo wangu ningependa kujadili kuhusu taaluma ya ubobeaji (Professionalism). Wataalam …

Zumbe10D Enzini

Harakati zangu mimi Ahmad Ten’dii ni za kujivunia na za kujiingiza mzima mzima kuelekea lengo kuu la kupata Ufalme wa Dunia ukianza nyumbani Tanzania.Je wewe unajivunia athari yangu, Unapenda matokeo ya Harakati zangu za kidini / Falsafa / Siasa au vyote kwa pamoja. Je wewe ni miongoni mwa wanaoona upo umuhimu wa kuniinua na kunitukuza …

Usawa Na Utajiri Duniani

Zumbe10D ndio mfalme wa Dunia ya kidijitali na ameigeuza kuwa Bustani ya neema. Hakuna Maskini hata mmoja. Umaskini ni suala ambalo liko katika historia. Dunia isiyotumia fedha, Dunia isiyo na Wafanyabiashara bali nafasi yao itachukuliwa na Timu za Usambazaji. Mahitaji yatakuwa yanagawanywa kuwa kuzingatia umri na hali ya mtu.Nyumba za maana kama zile za “Marehemu” …

Umuhimu Wa Ndoa Za Mapema

Mapenzi yakipatikana katika mazingira mazuri huinua ufanisi wa mtu yoyote bila kujali umri wake na Mapenzi huweza kumchanganya mtu yoyote ikiwa hayapatikani katika mazingira mazuri.Wote tulikuwa watoto, Wakati huo tamaa yetu kubwa ilikuwa ni kula chakula na kucheza, Na kila mtu akishafikisha miaka 13 yaani umri wa bahele tamaa yake juu ya mapenzi huchipua na …

Ujumbe Kwa LGBTQ

Mimi kama Mzazi siwezi kuwaunga mkono jamii ya Wasagaji, Mashoga, au wanaobadili Jinsia yaani LGBTQ. Vitendo hivyo havikubaliani na Asili ya Mwanadamu kwa hiyo ni jambo la kutarajiwa pia hata wao wenyewe kutojisikia vizuri sababu ya Mabadiliko ya kimwili wanayopitia hasa kama watataka msaada wa Madaktari ili wajibadilishe. Jamii ya LGBTQ inapata nguvu kutokana na …

Bustani Na Bwana Wake

Mimi Ahmad Ten’dii naanzisha Mfumo, Naanzisha utawala wa kutawala Bustani ya Upendo, Bustani yenye hadhi na heshima stahiki, Bustani ambayo Mwanadamu atachanua na kunawiri katika Nyanja zote, Nyanja zenyewe zitakuwa chache maana maisha nitayaelekeza katika uhalisia wake na sio nadharia zake Bustani hiyo Wanawake watafurahia asili yao na Wanaume watafurahia asili yao, Wanawake watajivunia asili …

Inawezekana Kuutowesha Umaskini

Inawezekana umaskini kuwa ni historia kama ilivyo kwa ukoloni na utumwa. Jamii za Binadamu zilipambana na Utumwa hadi zikakata tamaa juu ya kutoweka katika Maisha ya Binadamu, Hivyo hivyo Ukoloni. Wengi walikufa katika juhudi za kupambana na Ukoloni na wakaona ni Jambo lisilowezekana. Lakini sasa ukoloni ni Historia tu. Vivyo hivyo Umaskini unaweza ukatoweka na …