Inawezekana Kuutowesha Umaskini

Inawezekana umaskini kuwa ni historia kama ilivyo kwa ukoloni na utumwa. Jamii za Binadamu zilipambana na Utumwa hadi zikakata tamaa juu ya kutoweka katika Maisha ya Binadamu, Hivyo hivyo Ukoloni. Wengi walikufa katika juhudi za kupambana na Ukoloni na wakaona ni Jambo lisilowezekana. Lakini sasa ukoloni ni Historia tu. Vivyo hivyo Umaskini unaweza ukatoweka na …

Ni Wakati Wa Kumtambua Mfalme.

Ni kweli kabisa, Kuna watu unapowazungumzia huwezi ukawatenga na Dini zao. Na mimi ni Mmoja wao. Lakini Hatuna Budi kutambua na Kuheshimu kuwa tunaishi kwenye Dunia yenye Dini Mseto. Mimi na Heshimu hilo na nimewasisitiza Wanangu na Wafuasi wangu kuheshimu hilo. Huwezi Ukatumia Dini yangu kunikwamisha Kisiasa au Kiuchumi, Hiyo ni Dhuluma ya wazi ukizingatia …