Zumbe10D Enzini
Harakati zangu mimi Ahmad Ten’dii ni za kujivunia na za kujiingiza mzima mzima kuelekea lengo kuu la kupata Ufalme wa Dunia ukianza nyumbani Tanzania.Je wewe unajivunia athari yangu, Unapenda matokeo ya Harakati zangu za kidini / Falsafa / Siasa au vyote kwa pamoja. Je wewe ni miongoni mwa wanaoona upo umuhimu wa kuniinua na kunitukuza …





