Nukuu Binafsi

(Zumbe) Ahmad Ten’dii ni Nani

Kijana kutoka Tanzania mwenye Kusudi la uundwaji wa Taifa la kifalme juu ya Baraka, Karama na Maono adhimu ya Mafanikio ya kweli na ulinzi wa Ustaarabu na Utu ndani ya Milenia hii. Mtaalamu wa Dini na Falsafa ambaye Hakupitia Masomo rasmi. Aliyedhihirika kupitia kusudi la uanzishaji wa Taifa la Kifalme lenye upatanisho kati ya ulimwengu halisia na ulimwengu wa kiroho. Mwanasiasa Mwadilifu na Mwenye Karama tele ambaye amesimama kama alama ya Mizani katika masuala yapasayo kuamua juu ya utawala safi. "Nimejinasibu na kunasibishwa na ulezi na ulinzi wa Ustaarabu kuipitia Hekima, Busara, upendo na uelewa wa hali ya Juu".

Falme ya Ahmad

Karibu katika Falme ya Ahmad, Isiyo na Mipaka – Maisha ya Usawa, Heshima na Uhuru wa Kweli

Maelezo Zaidi

Mfumo wa Maisha

Maisha Bila Pesa – Kila Kitu kwa Kila Mtu. Uaminifu wako ni tiketi ya maisha ya heshima na anasa

Maelezo Zaidi

Sheria na Nidhamu

Uhuru wa Kweli Unahitaji Nidhamu ya Kweli. Uhuru wa kuabudu, ulinzi wa mapenzi na Kuchunga wenye haki kwa salama

Maelezo Zaidi

Teknolojia na Viwanda

Kazi Kwa Mashine, Kazi kwa Zamu Lengo la Kupunguza Ajira na Kuongeza Muda wa Familia, Kustarehe na Kuabudu

Jiunge Na Jumuiya

Anzisha Tawi la Zumbe10D Katika Eneo Lako. maelekezo ya kuanzisha jumuiya na Nidhamu Kwa Waasisi

Maelezo Zaidi

Mashujaa na Historia

Waliotangulia Kwa Uaminifu na Ubunifu. Walioacha Alama katika Historia Kwa kuishi Sehemu ya Falsafa hii

Maelezo zaidi

Habari Mpya

Pod – Zumbe10D na Uchizi Feb 2026

Nakutana na changamoto nyingi sana kwa kisingizio kwamba nina matatizo ya afya ya Akili, Changamoto hizo zinapelekea suala la uchumi wangu kuwa duni na duni kila siku. Napaswa kufanya kazi na kuwa na kwangu kwa maana ya nyumba na kwangu kwa maana ya Familia, Naishi bila mke na sina cha kusema zaidi ya kulaumu hali …

Soma Zaidi

Falme ya Ahmad – Dunia Moja Bila Vita

Katika historia ya binadamu, vita vimekuwa mzizi wa maumivu na uharibifu. Kila kizazi kimeacha kumbukumbu za damu na machozi, na kila taifa limepoteza watoto wake kwa sababu ya tamaa na chuki. Lakini sasa, katika Falme ya Ahmad, tunatangaza kwa sauti ya kifalme: vita ni haramu milele. Kila falme ina “ridhaa tukufu” na kwetu sisi ni …

Soma Zaidi

Mabwana wa Taasisi – Cheo cha Uaminifu

Katika dunia ya sasa, matajiri na viongozi wa taasisi kubwa au Viongozi wa Mataifa hawapaswi kuishi kwa hofu ya kupoteza mali zao au nafasi zao pindi mageuzi ya Masihi Ahmad Ten’dii yakishika hatamu. Lakini katika Falme ya Ahmad, hakuna mtu anayepaswa kuogopa mabadiliko. Kwa uaminifu wao kwa Masihi Ahmad, viongozi hawa watapewa heshima ya kifalme …

Soma Zaidi
See More Posts